
Coastal union Under 20 leo
 tena kwa kishindo imetinga hatua ya nusu fainali ya Uhai cup baada ya 
matokeo ya 2-2 kwa dk 90 dhidi ya Ruvu Shooting na baadaye kushinda kwa mikwaju 
ya penati 4-3...........nusu fainali itacheza na Simba B na nusu 
fainali nyingine ni Azam Fc na Mtibwa Sugar
 
 

 baadhi ya wahariri wakifuatilia mada ambazo zilikuwa zikiwasilishwa
baadhi ya wahariri wakifuatilia mada ambazo zilikuwa zikiwasilishwa kaimu mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Bw Teophil Makunga akielezea umuhimu wa elimu kwa kuhusu sekta ya hifadhi ya jamii
kaimu mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Bw Teophil Makunga akielezea umuhimu wa elimu kwa kuhusu sekta ya hifadhi ya jamii Bw Salim Salim akichangia mada ya sekta ya hifadhi ya jamii
Bw Salim Salim akichangia mada ya sekta ya hifadhi ya jamii