
mjumuiko wa wahariri wa vyombo vya habari nchini Tanzania na mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa hifadhi ya jamii(SSRA] katikati akiimba wimbo wa mshikamano daima katika semina ya SSRA kwa wahariri wakuu wa vyombo vya habari nchini iliyofanyika Tanga Beach Resort hivi karibuni jijini Tanga



No comments:
Post a Comment