Saturday, October 6, 2012

ASKOFU NA KADINALI WA KWANZA KATIKA BARA LA AFRIKA AMEZIKWA TENA LEO KATIKA KANISA KUU LA MJINI BUKOBA


 
MAREHEMU LAUREAN RUGAMBWA



http://www.mwananchi.co.tz/images/stories/0000000000000001aazikwa.jpg

Mwili wa marehemu Rugambwa ambaye alikuwa Askofu na Kardinali wa kwanza Mwafrika alifariki dunia Desemba 8, 1997 na mwili wake kuhifadhiwa katika Kanisa la kwanza la Katoliki mkoani Kagera, Kashozi, hapa ukipelekwa kuzikwa rasmi katika Kanisa Kuu la Bukoba alilochagua yeye.


 KANISA ALILOZIKWA TENA ASKOFU

No comments:

Post a Comment