Wednesday, December 19, 2012

Coastal union Under 20 leo tena kwa kishindo imetinga hatua ya nusu fainali ya Uhai cup

 

 https://encrypted-tbn2.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcSoVZ3G1u2JNHFKOGmaTFL_HssUVLvZ8A8kmyYkYvzuL09G16C3
Coastal union Under 20 leo tena kwa kishindo imetinga hatua ya nusu fainali ya Uhai cup baada ya matokeo ya 2-2 kwa dk 90 dhidi ya Ruvu Shooting na baadaye kushinda kwa mikwaju ya penati 4-3...........nusu fainali itacheza na Simba B na nusu fainali nyingine ni Azam Fc na Mtibwa Sugar

semina ya SSRA kwa wahariri wakuu wa vyombo vya habari nchini iliyofanyika Tanga Beach Resort hivi karibuni jijini Tanga

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJG4oZnlVOma5JmKXuk3l-MFxalEZDVom_HLQuaJeKyi8V0ES793zLzVZtAuDm6254GJc4egJTnPGxNCXMk-pUdgdZvZON-XYLQMa08m9iWKUiLEFo5RPlAMqBO_8QyMIJUbdTjyrUS_eN/s1600/New+Picture.png
mjumuiko wa wahariri wa vyombo vya habari nchini Tanzania na mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa hifadhi ya jamii(SSRA] katikati akiimba wimbo wa mshikamano daima katika semina ya SSRA kwa wahariri wakuu wa vyombo vya habari nchini iliyofanyika Tanga Beach Resort hivi karibuni jijini Tanga


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYyN1FbzaGOPNnHhbnbJf9WsOB8xiDjEwZrjybpvvIeUATwkG9oVEDzleor6tWl_HirSRWHiuKagPZfCGrj_6L1zCauvuUi-rjG1VGTtye172eICfh3auVMWez1lY24ul85HAnyHhj9T1A/s1600/New+Picture+%25283%2529.pngbaadhi ya wahariri wakifuatilia mada ambazo zilikuwa zikiwasilishwa



https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiqG9_cMXzhse83TrqU5d56rx6Tfub-VjCaSM5xrGsldEl-7KSUlwbQySitYVYEKgRf0RqAVGui775YiBN_G1BWNSB9l8YKgpZEqxvUaucdcPMjIRq6nIQ2ZRp51bU5aMCbU3v14hozgFL9/s1600/New+Picture+%25286%2529.pngkaimu mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Bw Teophil Makunga akielezea umuhimu wa elimu kwa kuhusu sekta ya hifadhi ya jamii



https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjqwlOV1WPUcwkYw4Lh1Bv1RqljuX28cO0pGTT6DhJk15tsdPdQ4YHfKOND2AXsq7zriM_kifIDujHdrzZKmb8Z7doqwCMN8Bevy8VRXI0cLY09zEsSkavxTzrIh-icr6z4aushcL4M-gRG/s1600/New+Picture+%25281%2529.pngBw Salim Salim akichangia mada ya sekta ya hifadhi ya jamii