Sunday, December 2, 2012

baadhi ya watoto Korogwe vijijini wamekumbwa na ugonjwa wa kushambuliwa na funza kwa kiasi kikubwa miguuni na mikononi kutokana na familia kutokuwa karibu na watoto wao!.

baadhi ya watoto wanaoshambuliwa na ugonjwa wa funza. Kuanzia mtoto wa pili kutoka kulia ni miongoni mwa familia zinazoshambuliwa na ugonjwa wa funza eneo la Kibaoni Korogwe Vijijini.

hata hivyo si watoto wa familia zote wamekubwa na ugonjwa huo, wapo ambao wanaangaliwa kwa karibu na familia zao kama wanavyoonekana baadhi ya watoto katika picha hii, ambao wamesalimika.

 

 

 Na: Mwandishi wa Thehabari Korogwe Vijijini