Sunday, September 30, 2012

KWAMSISI,TANGA NI MOJA YA KATA MAARUFU SANA TANZANIA KWA MASWALA YA KIJAMII


 Kwamsisi ni jina la kata ya Wilaya ya Handeni katika Mkoa wa Tanga, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 8,798 waishio humo.

No comments:

Post a Comment