Wednesday, October 3, 2012

Dk. Kigoda kutembelea viwanda mkoani Tanga

http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2012/09/01.jpgWaziri wa Viwanda na Biashara Dk. Abdallah Kigoda akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, kabla ya kuanza ziara yake ya siku tatu (3) kutembelea Viwanda mkoani Tanga.


http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2012/09/02.jpg

Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Abdallah Kigoda akionesha kukubaliana na Maelezo ya Mtendaji Mkuu wa Kiwanda cha kuzalisha mifuko na maturubai cha Pee Pee kilichopo mkoani Tanga.


 
 

Mashine za kisasa za kusaga na kupanga unga katika viwango mbalimbali zilizopo katika Kiwanda cha Unga cha Pembe kilichopo mkoani Tanga.


 Mgodi wa malighafi za kuzalisha saruji (limestone) ambao umekuwa ukitoa malighafi hizo tangu kuanzishwa kwa Kiwanda hicho miaka zaidi ya 30 iliyopita. Tafiti zinaonesha kuwa, malighafi hiyo itaendelea kupatikana kwa zaidi ya miaka 130 ijayo.

No comments:

Post a Comment