Wednesday, December 19, 2012

Coastal union Under 20 leo tena kwa kishindo imetinga hatua ya nusu fainali ya Uhai cup

 

 https://encrypted-tbn2.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcSoVZ3G1u2JNHFKOGmaTFL_HssUVLvZ8A8kmyYkYvzuL09G16C3
Coastal union Under 20 leo tena kwa kishindo imetinga hatua ya nusu fainali ya Uhai cup baada ya matokeo ya 2-2 kwa dk 90 dhidi ya Ruvu Shooting na baadaye kushinda kwa mikwaju ya penati 4-3...........nusu fainali itacheza na Simba B na nusu fainali nyingine ni Azam Fc na Mtibwa Sugar

No comments:

Post a Comment