Thursday, October 25, 2012

mashindano mpira wa Kikapu ya kombe la Taifa, yanatarajiwa kufanyika mjini Tanga kuanzia Oktoba 29 hadi Novemba 4, mwaka huu 2012.

 https://encrypted-tbn3.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcSVjte3yBXT5vuQKPnbJTy2VylkaaMX2t3R5BalXkgq5NrWI9ukjw
mashindano haya ya Kombe la Taifa kwa kawaida ndio hutumika kuchagua timu zetu za Taifa, hvyo ni muhimu kwa mikoa yote kushiriki ili kuwapa nafasi wanamichezo kutoka mikoa yao kuonekana katika ngazi ya Taifa.mikoa iliyothibitisha hadi sasa ni Iringa, Mbeya, Arusha, Kilimanjaro, Shinyanga, Singida, Mara, Dodoma, Pemba, Unguja, Tanga, Mtwara, Lindi na Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment