Sunday, December 30, 2012

JK Amtembelea Padri Ambrose Mkenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) jijijini Dar es salaam

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Padri Ambros Mkenda wa Kanisa Katoliki la Mpendae mjini Zanzibar anayeuguza majeraha katika taasisi ya mifupa ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) jijijini Dar es salaam
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiO7OtpGNtAxYOD58-ac8hsxussCFFZNJrw5zqD7MMuAR0oGBfun9rOdytebDOknmzdTgUyhj3uez5oQpyzbl0uPBuNweIcIL52b9CcDssjLLsychVdQhaE2h79jJ6YQwk4ppdHmx5Xy8h2/s1600/pd11568631345.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Padri Ambros Mkenda wa Kanisa Katoliki la Mpendae mjini Zanzibar anayeuguza majeraha katika taasisi ya mifupa ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) jijijini Dar es salaam jana Jumamosi Dsemba 29, 2012 kukupigwa risasi sehemu za mdomoni na watu wasiojulikana mapema wiki hii wakati akisubiri kufunguliwa geti la nyumbani kwake maeneo Kitomondo Mjini Zanzibar akiwa ndani ya gari aliyokuwa akiendesha akiwa pekee yake. Rais Kikwete amempa Padri Mkenda pole nyingi na kumuombea apate nafuu haraka.

No comments:

Post a Comment