Tuesday, February 5, 2013

Alhamisi hii feb 7,2013 kwenye AMPLIFAYA Clouds Fm.

Alhamisi hii feb7 2013 kuanzia saa moja usiku kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM dakika 120 zitatumika kuirusha Exclusive interview ya BABU WA LOLIONDO, ni safari iliyochukua dakika 570 kutoka Arusha mjini, ni zaidi ya saa masaa tisa(9).
Safari ya kwenda kwa Babu wa Loliondo Samunge ilianza kwenye defender ya polisi kwa sababu magari ya watu binafsi yalikua yanagoma kwenda kutokana na vita kali ya Wasonjo na Wamasai, hivyo njia pekee ya kufika kwa Babu ni kusindikizwa na Polisi, stori kamili ni Alhamisi hii feb 7 2013 kwenye AMPLIFAYA Clouds Fm.
Kwenye interview ya zaidi ya dakika 60 na Babu wa Loliondo Ambilikile, picha na stori nyingine zitapatikana kwenye millardayo.com kuanzia jumatano usiku na alhamisi.

No comments:

Post a Comment